ZITAMBUE DALILI ZA KWAMBA HUYU KAUMBWA KWA AJILI YAKO 11:17 0 relationship A+ A- Print Email Kama unaamini kuwa huyo uliyenaye ni wa kufa na kuzikana, basi tazama baadhi ya dalili hizi; 1.Unamwamini. 2. Unamhurumia. 3. Unakasirika anaposengenywa. 4. Anaelewana na rafiki zako. 5. Unawasahau rafiki zako. 6. Unamsahau mpenzi wako wa zamani.
Post a Comment
YOUR COMMENTS