0








1. Nikiamka ni mtu wa kwanza kumfikiria, 

nikilala ni mtu wa mwisho kumfikiria!

2. Ndoto zangu nyingi ni juu yake!

3. Nisiposikia sauti yake naumia!

4. Nisipopata SMS nakasirika!

5. 
Sina nguvu za kucontrol hisia zangu na

 sina uwezo wa kumficha ninavyojisikia!

6. It hurts so much that we are apart.


Ninaumia sana ninapotaka kukumbatiwa lkn 

naishia kukumbatia mito.



                 





Post a Comment

YOUR COMMENTS

 
Top